HII NI NEEMA KWA MRISHO MPOTO


Mrisho mpoto atoa shukrani kwa wananchi Baada ya kitendo cha Wananchi Kumpatia sifa juu ya Kudumisha na kupendelea kuvaa mavazi ya kiafrika ambayo akimalizia kwa kusema Hii ni nema Kwangu na Kuwahaidi watanzania ya Kwamba atakau nao bega kwa bega katika kurinda maadili ya mavazi na kuwashauri wasanii wenzake wajijengee tamaduni ya kutumia mavazi ya kinyumbani katika kazi zao za kisanaa.

Comments

Popular posts from this blog

Mashtaka watakiwa kutekeleza maagizo ‘Mpemba wa Magufuli

18 Mbaroni wakijaribu Kuua Tabora

Janga la Yanga si la Kitoto